Sunday, March 29, 2009

Unahamu lakini Kuma kavu.....

Unahamu lakini Kuma kavu.....

Ni wazi kuwa ktk mzunguuko wa hedhi kuna wakati uke unakuwa mkavu na hakuna kinachotoka (hata utoko huchukua muda kuteremka) kutokana na ute mzito (sio ule mlaini kama mrenda,udenda) vilevile ukiwa unajiswafi (kuondoa utoko) inachukua muda kwa vile "utoko" unakuwepo lakini kidole hakizunguuki as fast as u'd like au kama siku nyingine na hapo ndio mwanamke unajua kuwa siku zako ni salama (only kama uko asilia kwamba hujawahi na hutumii madawa yeyote ya kuzuia mimba).

Ktk kipindi hiki mwanamke unajikuta una hamu ya kufanya mapenzi(nyege) lakini hata mpenzi akuchezee vipi ule ute unaoashiria kuwa uko tayari hautoki wa kutosha na vilevile unaweza ukajisikia kuwa mwili wako uko tayari kuingiliwa/tiwa(ingiziwa mboo ukeni) lakini mpenzi akifanya hivyo inakuwa ngumu kuingia.

Sasa hali hiyo ikitokea haina maana una kasoro au mpenzi wako hajui kuwajibika la hasha....bali ni matokeo ya kisayansi ya mzunguuko wako wa hedhi kwambwa yai haliko tayari na matokeo yake ndio kutokupata unyevu au kunyevuka haraka unapo "ngegeshwa".

Hivyo ni vema kama ukatumia "vilainisho" vya asilia kama vile mate nikiwa na maana mpenzi wako alainishe Kuma kwa kuilamba (kuzamia) au wewe uunyonye uume (BJ) ktk mtindo wa "wet suck" na mate yenu yatasaidia uume kuingia bila "kwere" na hivyo kufurahia uumbaji wake Mola.

Ukitumia Mate kama "kilainisho" na kufanikisha uume kuingia basi baada ya muda utahisi ute umejitokeza huko ndani ya Kuma kutokana na utamu wa ile ndude na utafurahia kama siku nyingine.

Vilevile mnaweza kutumia "vilainisho" vya kitaalamu vilivyo na asili ya maji na sio mafuta kama vile Ky-jelly, vyenye asili ya mafuta vinaweza kukusababishia maambukizo ikiwa vitaingia ukeni (mafuta hubaki kwenye nguzo za uke na kuganda bila wewe kujua) Inashauriwa kutotumia mafuta kuingiza ukeni ili kuepuka kuzaliwa kwa wadudu na kusababisha maambukizo ukeni.



Usafi wa Matako na Uke

Jinsi ya kusafisha Uke wako

Kuma Yangu Inanuka

Mazoezi ya kukaza misuli ya Uke.

Kuma

Related Posts by Categories



No comments:

Post a Comment