Sunday, June 21, 2009

Katelelo

Nini Katelelo.....Leo katika pita pita mtaani nimekutana neno linaloitwa KATELELO. Nasikia ni jina la style ya kufanya sex maarufu huko Bukoba. Nimemwuliza rafiki yangu wa huko Bukoba anielezee, amebakia tu kucheka, kacheka kweli, amekataa kunieleza inafanywaje.

Basically nasikia ni Clitoris Stimulation technique ambayo nasikia mwanamke akifanyiwa hata kama tangu azaliwe hajawahi pata orgasm atapata tu. Tena zaida ya yote nasikia mwanamke anaweza mwaga maji hadi LITA 3 au hata 4.

Jamani hiki kitu kipo kweli? Sasa kama kipo jamani mke wako au mpenzi wako akitombwa na hao jamaa wa katelelo si ndio atakukimbia tena kibaya zaidi awe hapati orgasm akisex na wewe

Jawabu

Katelelo ipo na nina uhakika wengi huwa wanaifanya ila majina ndio hutofautiana au hawaipi jina zaidi ya "nilimsugua kisimi", "nilichapwa kisimini" "nilinyonywa/lambwa kisimi".

Swala la kumtomba mwanamke na kutoa lita tatu za maji sina uhakika linasababishwa na "katelelo" bali ni maumbile zaidi kwamba wapo wanawake wanamwaga maji na wengine wanatoa ute mwingi lakini sio kisai cha kuleowesha godoro.

Sasa ni hivi, Kitendo cha kucheza na kisimi kwa utaalamu na mirindimo tofauti mpaka mwanamke anamaliza ndio kinaitwa "katelelo", kitendo hiki hakina tofauti sana na "kumshukia" mwanamke yaani kucheza na kisimi kwa kutumia ulimi japokuwa ulimi ni mtamu zaidi kwa vile ni laini kutokana na mate kinywani vilevile unanyonya kila baada ya "vibrashi" vichache, bila kusahau kuna "speed" amabyo huongezwa na kupunguzwa.


Kitendo hiki hufanywa kwa kufuata mikao fulani kama ilivyo kwenye "kumshukia Chumvini" na mikao hiyo ni kama vile "Doggy" Inaweza kuwa ya kupiga magoti au ya kuinama, kulala chali na kupanua miguu, kukaa kochini au kitini na kupanua miguu.....kama hakionekani basi mwana mama itamlazimu kutumia mikono yake ili kupanua maeneo yake nyeti ili uweze kufanyia kazi "kiharage".


Kuna namna ya ukamataji wa uume ili kufikia lengo, kuna wale wanaoushikilia karibu zaidi na kichwa hali inayoongeza ukubwa wa "kichwa" na ugumu hali inayo ongeza utamu alafu ndio wanasugua (hii kama inauma vile eeh), wacha niseme ku-brashi Kisimi, ku-brashi huko hutofautiana (nitakuambia jisni ninavyoendelea)


Pia kuna wanaume wengine hushikilia uume kama vile wanavyo kojoa (sio manii bali mkojo maji) au wanavyouingiza ukeni lakini sasa wanaishia kisimini tu na kufanya ile-brashi. Sasa wakati unaendelea na ku-brashi unatakiwa kuongeza manjonjo na "spidi" ili kumpa mpenzi wako utamu makini.

Unaweza kuwa unachovyesha kichwa pale ukeni (unapoingia uume) pale mwanzo wa uke kuna utamu wake ambao ni tofauti au niseme ni zaidi ya ule wa kisimi japokuwa huwezi kufikia kilele.......wakati "unamkaTelelo" Kisaikolojia atakuwa anasikilizia Utamu wa ajabu bila kujua tofauti, yeye atakuwa akijua unacheza na sehemu ya juu ya uke wake ambayo ni Kisimi.

Ikiwa mwanamke unaefanyanae ni mmoja kati ya wale wenye kutoa maji mengi (nasikia baadhi ya Wahaya,Wachaga, Wanyakyusa (kwa Tz), Waganda, Warundi na Wanyarwanda) hii ni kwa ajili ya kula ndizi nini hehehehehe......basi wakati anakaribia utaanza kuona maji yakiongezeka na akifika kabisa basi ndio vile......usisahau kuanika Godoro.


Wanawake wengi wa Kiafrika wanapenda sana mtindo huu wa ufanyaji ngono kwa vile ni rahisi kufika kileleni kuliko aina nyingine ya ufanyaji hasa ukizingatia kuwa asalimia kubwa ya wanawake hawana uwezo wa kusikilizia/kupata utamu wa ngono kwenye maeneo mengine (mwanzo wa uke, Kipele G, Kuta za uke na eneo linaolitwa AFE).


Kisimi ni eneo pekee la linaloweza kumfanya mwanamke kupata uzoefu wa utamu wa ngono kwa haraka kuliko sehemu nyingine za uke wake hata kama kajaaliwa kusikilizia utamu ikiwa maeneo mengine manne yakifanyiwa kazi vema.

Related Posts by Categories



No comments:

Post a Comment